SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli Podcast Por  arte de portada

SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli

SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli

Escúchala gratis

Ver detalles del espectáculo

Obtén 3 meses por US$0.99 al mes

Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba Mungu atawafanya mashahidi wake wawili kutabiri kwa siku 1,260. Hii inalenga kuwaokoa Waisraeli kwa mara ya mwisho. Kule kusema kwamba Mungu atawaokoa watu wa Israeli kuna maanisha pia kwamba wakati huo mwisho wa dunia utakuwa umefika.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Todavía no hay opiniones