Episodios

  • Je, unafahamu utakatifu juu ya ulimwengu wa kidijitali?
    Sep 18 2025

    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katikisimu Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera akitufundisha juu ya Utakatifu katika Ulimwengu wa Kidijitali.

    L'articolo Je, unafahamu utakatifu juu ya ulimwengu wa kidijitali? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    53 m
  • Je,unafahamu mapinduzi ya fikra katika kanisa?
    Sep 18 2025

    Karibu uungane nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba, akitufundisha juu ya Mwangaza wa Kanisa Kitaifa.

    L'articolo Je,unafahamu mapinduzi ya fikra katika kanisa? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    56 m
  • Je, unafahamu changamoto ya Afya ya akili kwa kijana?
    Sep 18 2025

    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, Mwezeshaji wetu ni Daktari Katanta Razalusi, Mwandamizi wa Masuala ya Uzazi na Familia na Mwenyekiti wa Watoa Huduma za Afya Wakatoliki Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, akitufundisha juu ya changamoto ya Afya ya Akili kwa Vijana.

    L'articolo Je, unafahamu changamoto ya Afya ya akili kwa kijana? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    48 m
  • Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana.
    Sep 10 2025

    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili.

    L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    48 m
  • Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake.
    Aug 28 2025

    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania.

    L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    36 m
  • Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu?
    Aug 11 2025

    Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini , Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, ambapo ameendelea kujibu maswali mbalimbali yaliyoilizwa na msikilizaji. Mtangazaji ni Patrick Pascal Tibanga – Radio Mbiu

    L'articolo Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    57 m
  • Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini?
    Aug 7 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linahoji hivi; Kanisa linahimiza kuwasaidia watu masikini, sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati mimi mwenyewe ni masikini? Na je Matajiri hawahitaji kusaidiwa? Swali limejibiwa na Frateri Peter Peter kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

    L'articolo Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    28 m
  • Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha?
    Aug 6 2025

    Kipindi Cha Mbiu ya Heri MADA ni Matumaini katika Mateso kadiri ya maandiko Matakatifu katika Maisha ya Mkristo. Mafundisho haya yanatolewa na frateri Fransic Kulamiwa, Kutoka Seminari ya familia Takatifu Mwendakulima, yeye anatoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza.

    L'articolo Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    31 m