Episodios

  • Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa?
    Oct 24 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema Kanisa au kiongozi wa Kanisa kujihusisha na harakati za kisiasa au chama cha kisiasa inaruhusiwa?

    L'articolo Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    28 m
  • Fahamu historia ya neno Misa
    Oct 24 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?

    L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    27 m
  • Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine

    L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    58 m
  • Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei?
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao.

    L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.

    Más Menos
    56 m