6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12) Podcast Por  arte de portada

6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)

6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)

Escúchala gratis

Ver detalles del espectáculo

Obtén 3 meses por US$0.99 al mes

Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.
Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.
Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Todavía no hay opiniones