
5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)
No se pudo agregar al carrito
Add to Cart failed.
Error al Agregar a Lista de Deseos.
Error al eliminar de la lista de deseos.
Error al añadir a tu biblioteca
Error al seguir el podcast
Error al dejar de seguir el podcast
-
Narrado por:
-
De:
Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi?
Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele.
Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35