5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17) Podcast Por  arte de portada

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Escúchala gratis

Ver detalles del espectáculo

Obtén 3 meses por US$0.99 al mes

Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi?
Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele.
Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Todavía no hay opiniones