4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40) Podcast Por  arte de portada

4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Escúchala gratis

Ver detalles del espectáculo

Obtén 3 meses por US$0.99 al mes

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Todavía no hay opiniones