
3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)
No se pudo agregar al carrito
Solo puedes tener X títulos en el carrito para realizar el pago.
Add to Cart failed.
Por favor prueba de nuevo más tarde
Error al Agregar a Lista de Deseos.
Por favor prueba de nuevo más tarde
Error al eliminar de la lista de deseos.
Por favor prueba de nuevo más tarde
Error al añadir a tu biblioteca
Por favor intenta de nuevo
Error al seguir el podcast
Intenta nuevamente
Error al dejar de seguir el podcast
Intenta nuevamente
-
Narrado por:
-
De:
Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”
Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.
Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Todavía no hay opiniones