
2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)
No se pudo agregar al carrito
Add to Cart failed.
Error al Agregar a Lista de Deseos.
Error al eliminar de la lista de deseos.
Error al añadir a tu biblioteca
Error al seguir el podcast
Error al dejar de seguir el podcast
-
Narrado por:
-
De:
Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?
Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.
Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?
Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35