2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23) Podcast Por  arte de portada

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Escúchala gratis

Ver detalles del espectáculo

Obtén 3 meses por US$0.99 al mes

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?
Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.
Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?
Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Todavía no hay opiniones